• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya yazindua bajeti ya dola bilioni 28 ili kuchochea ukuaji wa uchumi
East Africa Features

Kenya yazindua bajeti ya dola bilioni 28 ili kuchochea ukuaji wa uchumi

Maureen MedzaApril 8, 2022April 8, 2022

Mnamo 2020 zaidi ya watu 700,000 walipoteza kazi na Wakenya bado wanakabiliana na kupanda kwa gharama za bidhaa za kimsingi

Mali yaanza uchunguzi kuhusu mauji yanayodaiwa kutekelezwa na Warusi
Africa Features

Mali yaanza uchunguzi kuhusu mauji yanayodaiwa kutekelezwa na Warusi

Maureen MedzaApril 7, 2022April 7, 2022

Shirika la kutetea haki za binadamu la HRW lilisema kwamba vikosi vya Mali na wapiganaji wa kigeni waliwaua raia 300 huko Moura, katika kile ilichokiita “ukatili mmoja mbaya zaidi kuripotiwa”

Thomas Sankara, mwanasiasa wa Afrika aliyetaka ‘kuondoa ukoloni akilini mwa raia’
Africa Features People Politics

Thomas Sankara, mwanasiasa wa Afrika aliyetaka ‘kuondoa ukoloni akilini mwa raia’

Maureen MedzaApril 7, 2022April 7, 2022

Sankara alishambuliwa na wanajeshi wenzake wakati wa mapigano yaliyomweka Compaore madarakani.
Alikuwa na umri wa miaka 37 tu.

Burkina Faso: Uamuzi wa kesi ya mauji ya Thomas Sankara kufanywa leo
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Uamuzi wa kesi ya mauji ya Thomas Sankara kufanywa leo

Maureen MedzaApril 6, 2022April 6, 2022

Thomas Sankara alikuwa mkuu wa jeshi akiwa na umri wa miaka 33 tu alipoingia madarakani kwa mapinduzi mwaka wa 1983.

Mnigeria asiyeamini kuwa kuna Mungu ahukumiwa kifungo cha miaka 24 katika kesi ya ‘kufuru’
Africa Features

Mnigeria asiyeamini kuwa kuna Mungu ahukumiwa kifungo cha miaka 24 katika kesi ya ‘kufuru’

Maureen MedzaApril 6, 2022April 6, 2022

Mwanamume  huyo mwenye umri wa miaka 37 alishtakiwa kwa kuandika taarifa kwenye Facebook zinazokosoa Uislamu na mtume wake

Watu 17 wanakabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuua kwa kushambulia helikopta ya Raila Odinga
East Africa Features Politics

Watu 17 wanakabiliwa na mashtaka ya kujaribu kuua kwa kushambulia helikopta ya Raila Odinga

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Watu hao17 wanahusishwa na kisa cha machafuko ambapo helikopta iliyokuwa imembeba Odinga ilipigwa mawe

Nigeria: Zaidi ya watu 150 bado hawajulikani walipo baada ya shambulio la treni
Africa Features

Nigeria: Zaidi ya watu 150 bado hawajulikani walipo baada ya shambulio la treni

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Baadhi ya abiria walitekwa nyara na walionusurika walisema watu wenye silaha wamewanyakua abiria kadhaa, lakini haijabainika ni wangapi.

Elon Musk ananunua hisa za Twitter, na kufanya bei ya hisa kuongezeka
Features International People

Elon Musk ananunua hisa za Twitter, na kufanya bei ya hisa kuongezeka

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Kwa sasa Elon Musk ndiye mtu tajiri zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 287.6, kulingana na Forbes.

Mahakama yaidhinisha kifungo cha miaka 25 kwa shujaa wa ‘Hotel Rwanda’
Africa East Africa Features People Politics

Mahakama yaidhinisha kifungo cha miaka 25 kwa shujaa wa ‘Hotel Rwanda’

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Mahakama ya Rufaa ya Rwanda Jumatatu ilipitisha hukumu ya kifungo cha miaka 25 jela dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’ Paul Rusesabagina.

Ajali nyingine ya treni nchini DR Congo yaua takriban watu saba
Africa East Africa Features

Ajali nyingine ya treni nchini DR Congo yaua takriban watu saba

Maureen MedzaApril 5, 2022April 5, 2022

Hakuna treni za abiria za kutosha na barabara chache zinazoweza kutumiwa, kwa hivyo watu wanaohitaji kusafiri umbali mrefu mara nyingi husafiri kwa treni ya mizigo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo