• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za binadamu limetangaza wasanii watakaoshiriki katika tamasha ya Global Citizen Live
Africa Entertainment People

Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za binadamu limetangaza wasanii watakaoshiriki katika tamasha ya Global Citizen Live

Maureen MedzaSeptember 18, 2021September 18, 2021

Tamasha ya Global Citizen Live hufanyika kwenye siku moja na kuonyeshwa katika mabara yote saba kwa saa 24 kote duniani…

“Nipo tayari kupatanishwa na Rais Uhuru.” Mhe. William Ruto
Africa Politics

“Nipo tayari kupatanishwa na Rais Uhuru.” Mhe. William Ruto

Maureen MedzaSeptember 17, 2021September 17, 2021

“Nipo tayari kupatanishwa na Rais Uhuru.” Mhe. William Ruto

Mambo mawili yanayoitambulisha Afghanistan; Taliban na Afyuni
Asia International

Mambo mawili yanayoitambulisha Afghanistan; Taliban na Afyuni

Maureen MedzaSeptember 17, 2021September 17, 2021

Afghanistan ni taifa linaloongoza katika upanzi wa mmea unaojulikana kama afyuni. Hutumika katika utengenezaji wa dawa tofauti za kulevya ikiwemo
heroini.

ECOWAS yaiwekea Guinea vikwazo
Africa International Politics

ECOWAS yaiwekea Guinea vikwazo

Maureen MedzaSeptember 17, 2021September 17, 2021

Rais wa ECOWAS Jean-Claude Kassi Brou amesema bila shaka kuwa ECOWAS imeiwekea Guinea vikwazo.

Fahamu kuhusu Taliban, kundi lililochukua siku 10 pekee kuiteka Afghanistan na kumfurusha rais wa nchi
Asia International Politics

Fahamu kuhusu Taliban, kundi lililochukua siku 10 pekee kuiteka Afghanistan na kumfurusha rais wa nchi

Maureen MedzaSeptember 16, 2021September 16, 2021

Ilichukua Taliban siku10 pekee kuiteka Afghanistan baada ya kuondoka kwa majeshi ya Amerika na kumlazimsha Rais Ashraf Ghani kutorokea Falme za Kiarabu, ila Taliban ni nani haswa?

Ongezeko la bei ya mafuta nchini Kenya
Africa Business / Finance East Africa

Ongezeko la bei ya mafuta nchini Kenya

Maureen MedzaSeptember 15, 2021September 15, 2021

Katika taarifa ya EPRA ya 14 Septemba lita ya petroli imeongezeka kwa Ksh. 7.58 na itauzwa kwa Ksh.134.72, lita ya dizeli imeongezeka kwa Ksh. 7.94 na itauzwa kwa 115.60 na mafuta ya taa yamepanda kwa Ksh. 12.97 na yatauzwa kwa Ksh. 110.82, bei hizi zikiwa kwa jiji la Nairobi.

Mkutano wa biashara kati ya mataifa ya Afrika na Dubai
Africa East Africa International Middle East

Mkutano wa biashara kati ya mataifa ya Afrika na Dubai

Maureen MedzaSeptember 14, 2021September 14, 2021

Wakuu wa nchi, zaidi ya mawaziri 30, maafisa wa ngazi za juu serikalini na viongozi mashuhuri kutoka Afrika wamethibitisha kuhudhuria mkutano wa awamu ya sita wa Jukwaa la Biashara la Afrika (GBF Africa) utakaofanyika Oktoba 13- 14, 2021 katika Expo 2020 Dubai.

9/11 anniversary: America marks  20 years since terror attacks as families remember loved ones –  ‘we will never forget you
International

9/11 anniversary: America marks 20 years since terror attacks as families remember loved ones – ‘we will never forget you

Maureen MedzaSeptember 13, 2021September 13, 2021

in the US, with grieving relatives vowing to “never forget” those who lost their lives.

Mapinduzi ya serikali za mataifa ya Afrika
Africa Politics

Mapinduzi ya serikali za mataifa ya Afrika

Maureen MedzaSeptember 13, 2021September 13, 2021

Kutoka Afrika magharibi, Burkina Faso imekuwa na mapinduzi mengi yaliyofaulu. Serikali za Burkina Faso zimepinduliwa mara saba na jaribio moja ambalo halikufaulu.

Ethiopia yasheherekea mwaka mpya 2014
Africa International

Ethiopia yasheherekea mwaka mpya 2014

Maureen MedzaSeptember 11, 2021September 11, 2021

Sikukuu ya mwaka mpya nchini Ethiopia inasheherekewa 11 Septemba,ikijulikana kama Enkutatash,katika lugha ya Amharic, lugha rasmi ya Ethiopia. Sikukuu hii ikiwa ni ya kusheherekea siku ya kwanza ya mwaka ya Meskerem, kulingana na kalenda ya Ethiopia.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo