Shahidi: Wanachama wa Chadema Wananitishia mimi Kuja Kutoa Ushahidi
Shahidi huyo alidai kuwa kuna wanachama au wafuasi wa CHADEMA wanaofahamu kuwa anakuja kutoa ushahidi na kwamba walimtishia kwa kumwambia kuwa “lolote baya linaweza kumkuta.”
Shahidi huyo alidai kuwa kuna wanachama au wafuasi wa CHADEMA wanaofahamu kuwa anakuja kutoa ushahidi na kwamba walimtishia kwa kumwambia kuwa “lolote baya linaweza kumkuta.”
Bellarmine Chatunga Mugabe, the youngest of the late President Robert Mugabe’s children, was arrested in South Africa on Thursday, charged with attempted murder for allegedly shooting his gardener.
Shahidi huyo alisisitiza kuwa kwa ufahamu wake kuzuia uchaguzi ni kosa.Aidha, alipoulizwa kuhusu shtaka la Uhaini linalomkabili Lissu, shahidi alisema anafahamu Lissu anashtakiwa kwa Uhaini lakini alikiri hafahamu vipengele vyote vya shtaka hilo zaidi ya madai ya kauli zinazohusiana na uchaguzi.
Nairobi, Kenya, 18th February 2026. The Kenya Community Development Foundation (KCDF) and Kagiso Africa Investments (KAI) marked a major milestone…
International charities and NGOs have also come under attack, with medical facilities destroyed and food convoys assaulted and looted.
Kenya will roll out a groundbreaking new HIV-prevention drug in March across 15 priority regions, the health ministry said on Wednesday.
Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.
Facebook and TikTok were no longer available in Gabon on Wednesday, AFP journalists said, after regulators said they were suspending social media over national security concerns amid anti-government protests.
Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.
Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo