Ripoti ya Tume:Mfumo wa kodi unahitaji marekebisho makubwa
Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.
Akiwasilisha ripoti hiyo, Mwenyekiti wa Tume Ombeni Sefue alieleza kuwa mfumo wa sasa wa kodi una changamoto kubwa zinazowaumiza wananchi na kudhoofisha imani yao kwa serikali.
The 82-year-old President has been re-elected with nearly 95 percent of the vote,
Senegal say they will appeal after they were sensationally stripped of the Africa Cup of Nations title on Tuesday and the Confederation of African Football (CAF) instead declared Morocco champions, two months after their chaotic final.
Milipuko mitatu ilitokea jioni ya Jumatatu muda mfupi baada ya wakazi wa mji huo wenye Waislamu wengi kufungua futari ya mwezi wa Ramadhani. Milipuko hiyo ililenga soko kuu, lango la hospitali kubwa ya kufundishia ya Maiduguri, pamoja na eneo la ofisi ya posta.
Coordinated explosions staged by suspected suicide bombers tore through a busy market and other areas in Nigeria’s northeastern city of Maiduguri, killing at least 23 people and wounding more than 100 others, police said on Tuesday.
Vita hivyo, sasa vikiwa katika wiki ya tatu, vimesababisha vifo vya mamia ya watu na kuenea haraka, vikijumuisha mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Ghuba pamoja na mashambulizi ya Israel nchini Lebanon.
Bobi Wine amesema Jumamosi kwamba ameikimbia nchi kuepuka msako wa jeshi baada ya Uchaguzi wa urais wa January 15, 2026.
Kwa mujibu wa uamuzi huo, taasisi na mabaraza mbalimbali ya Kiislamu sasa yanaweza kuendesha shughuli zao na kuchagua viongozi wao bila kulazimishwa kuwa chini ya mwamvuli mmoja.
According to him, the future of the media group lies in expanding its reach, especially among younger audiences and emerging businesses.
Askofu wa Jimbo Kuu Katoliki la Musoma, Michael Msonganzila, amelaani vikali tukio la Jeshi la Polisi kurusha mabomu ya machozi ndani ya eneo la kanisa wakati wa ibada, tukio lililotokea wakati wanachama wanawake wa Chadema BAWACHA, walipokuwa wakitoka ibadani.