Jamhuri Yapangua Hoja za Lissu, Yeye Asisitiza Hati ni Batili
Upande wa Jamhuri umejibu hoja za mshtakiwa Tundu Lissu kwa kuzipangua moja baada ya nyingine, huku Lissu naye akisisitiza kwa msimamo wake kuwa hati ya mashtaka ya uhaini inayomkabili ni batili na haina uhalali wa kisheria.