Tundu Lissu Alalamikia Kutengwa na Udhalilishaji Gerezani
Kupitia ujumbe aliouchapisha kwenye akaunti yake ya X mnamo Oktoba 26, Lissu alisema kuwa chumba chake cha gereza kimefungwa kamera za CCTV zinazorekodi kila hatua yake, hata anapojisaidia au kubadilisha nguo.