Wagonjwa nane wa Ebola nchini Uganda waruhusiwa hospitali
Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.
All news and updates from Uganda
Waziri Jane Ruth Aceng amesema kuwa wagonjwa hao wanane walikuwa wakitibiwa na sasa wamepona kikamilifu.
Eight patients treated for Ebola in Uganda have recovered, the country’s health minister said on Wednesday, declaring the country’s latest outbreak of the deadly disease “contained”.
Besigye ambaye amesusia chakula tangu wiki iliopita alionekana kudhoofika huku akiandamana na mshtakiwa mwenzake Haji Obeid Lutale.
Makundi hayo yalitangaza mipango ya maandamano ya amani tarehe 21 Februari 2025, kuandamana hadi Ubalozi wa Uganda na Bunge la Kitaifa la Kenya
The groups announced plans for a peaceful protest on February 21st 2025, marching to the Ugandan High Commission and Kenya’s National Assembly
His lawyers described him as critically ill.
Kiongozi wa upinzani wa Uganda, Kizza Besigye, anasema kuwa “anaumwa vibaya” gerezani siku tatu baada ya kuanza mgomo wa kula kupinga kizuizi chake, alieleza mmoja wa mawakili wake.
“We visited him in the prison yesterday but his medical condition is worrying. He is critically ill and needs urgent medical attention,”
Baada ya ripoti za vyombo vya habari kuhusu hatua hii, wakili Elias Lukwago amesema kuwa Besigye, mwenye umri wa miaka 68, alianza mgomo wake wa kula tangu Jumatatu, akisema kuwa “hajabaki na chaguo ila kuanza mgomo wa kula”.