Museveni Kutetea Tena Kiti Cha Urais 2026
Katika taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya chama cha National Resistance Movement (NRM), chama hicho kilisema kuwa Museveni “amewasilisha nia ya kutetea nafasi ya Mwenyekiti wa NRM na kuwa mgombea urais wa chama katika uchaguzi wa 2026.”