Uganda arrests dozens of students over oil project protest
Dozens of student activists were arrested on Friday as they tried to march to Uganda’s parliament to deliver a petition…
All news and updates from Uganda
Dozens of student activists were arrested on Friday as they tried to march to Uganda’s parliament to deliver a petition…
Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.
Wanachama wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC) walikamatwa nchini Kenya na kushtakiwa kwa kile wakili Erias Lukwago alichokiita “unyanyasaji” kwa utaratibu wa kisheria na mamlaka ya Uganda.
Polisi nchini Uganda wamezagaa kila kona ya mji Mkuu wa nchi hiyo ili kudhibiti maandamano yaliyopangwa kufanywa leo Jumanne licha ya kuwa mamlaka zimepiga marufuku maandamano hayo.
The anti-graft movement in Uganda has taken inspiration from anti-government demonstrations that have shaken neighbouring Kenya for more than a month, led largely by young Gen-Z Kenyans.
Hatua hiyo inajiri siku mbili baada ya Rais Yoweri Museveni, ambaye ametawala nchi hiyo kwa mkono wa chuma kwa takriban miongo minne, kuonya kwamba Waganda wanaopanga kuingia mitaani Jumanne “wanacheza na moto”.
No further communication has been received since. All his known phone numbers are currently off. Stephen’s whereabouts and condition are unknown
The pipeline will transport oil produced from Uganda’s Lake Albert oilfields to the port of Tanga in Tanzania, where the oil will then be sold to world markets
Watu tisa wakiwemo watoto waliokolewa katika operesheni ya kumsaka kamanda huyo. Watu hao walipatikana mkoani Ituri Mashariki mwa DRC. Bidhaa za kutengenezea mabomu pia zilipatikana huko katika harakati ya kufanya msako huo.
Majadiliano kuhusu mswada huo bungeni yamegubikwa na lugha ya chuki ya watu wa jinsia moja na Museveni mwenyewe wiki iliyopita aliwataja mashoga kama “wapotovu hawa”