Video ya mwanamke akicheza yachochea mjadala wa haki za wanawake nchini Misri
Baadhi ya wakosoaji wanamtuhumu kwa kukiuka maadili ya kihafidhina ya jamii ya Kiislamu huku wengine wakisimama kidete naye.
Baadhi ya wakosoaji wanamtuhumu kwa kukiuka maadili ya kihafidhina ya jamii ya Kiislamu huku wengine wakisimama kidete naye.
“Ninajivunia kwamba sarafu hizi zinasherehekea michango ya baadhi ya wanawake waanzilishi wa Amerika, Janet Yellen.
Kakwenza Rukirabashaija ameshtakiwa kwa makosa mawili ya “mawasiliano ya kukera” na kuwekwa rumande hadi Januari 21
The money will extend for at least 15 years.
Chef Dieuveil Malonga learned his craft in Europe’s top restaurants, but says he owes his success to grandmothers across Africa.
Kuanzia kwa Mwanamfalme Philip wa Uingereza hadi mshindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel Desmond Tutu, hawa ni baadhi ya watu mashuhuri walioaga dunia mwaka wa 2021.
Hukumu hiyo imetolewa na mahakama ya kijeshi katika gereza kuu la Goma
Tangazo hilo limetolewa Alhamisi, saa chache kabla ya hafla hiyo kuanza
“Rumba ni utambulisho wetu! Kutambuliwa kwake kimataifa ni fahari na hazina kwetu.” alisema waziri wa utamaduni wa DRC Catherine Furaha.
Tamasha hilo huwakaribisha wafugaji wenye ngamia warembo kushindana kwa zawadi ya kiasi cha £50m.