Mtu aliyesafirisha na kuuza tamthilia ya ‘Squid Game’ nchini Korea Kaskazini ahukumiwa kifo kwa kupigwa risasi
Wanafunzi wengine sita wa shule ya upili ambao walitazama kipindi hicho walisemekana kuhukumiwa miaka mitano ya kazi ngumu.
Wanafunzi wengine sita wa shule ya upili ambao walitazama kipindi hicho walisemekana kuhukumiwa miaka mitano ya kazi ngumu.
Inasemekana kuwa chanzo cha kusambaratika ni malalamiko kutoka kwa Peter kutaka mabadiliko katika uongozi kwa madai kuwa kundi lilionekana la kifamilia zaidi kuliko kibiashara
The animal kingdom helped Lady Gaga in portraying each stage of her role as Reggiani’s life.
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.
Maafisa wa udhibiti wa muziki Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) walikuwa wamepiga marufuku nyimbo mbili zinazomshambulia Rais Felix Tshisekedi. Kufikia Jumatano jioni maafisa wa udhibiti wa muziki walikuwa wameondoa marufuku kwa wimbo mmoja “Nini Tosali Te” (kwa lugha ya lingala, ‘’Ni kipi hatukufanya’)
Kwa kawaida katika mataifa mengi duniani, ndoa zilizozoeleka ni ndoa kati ya mume mmoja ma mke mmoja. Katika tamaduni ya…
Mara nyingi kampuni zinazotoa huduma za mtandao haziwezi kukataa maagizo ya serikali zao kubana au kuzima mitandao.
Mark Zuckerberg, aliyeanzisha Facebook mwaka wa 2004, alitangaza Alhamis jina jipya la Facebook
Tuzo za Oscars awamu ya 94 zitafanyika Machi 2022 nchini Amerika.