Klopp confirms ‘Liverpool legend’ Origi is leaving Anfield
The 27-year-old has been a bit-part player since he joined Liverpool in 2014.
The 27-year-old has been a bit-part player since he joined Liverpool in 2014.
Kiungo huyo wa kimataifa wa Senegal alikosa mchezo wa Ligue 1 dhidi ya Montpellier Jumamosi ambapo wachezaji walipaswa kuvaa jezi za upinde wa mvua kuunga mkono harakati za LGBTQ.
For 89 minutes, the English champions showed the maturity built up over a decade of experience in the competition but in 90 seconds their best-laid plans were destroyed.
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.
Ronaldo missed a match to be with his family after he and partner Georgina Rodriguez announced the sad news on Monday.
Hag has signed a three-year contract.
Cristiano Ronaldo na mpenzi wake Georgina Rodriguez wametangaza Jumatatu kuwa mtoto wao mchanga amefariki dunia. Ronaldo alifichua katika chapisho la…
Kwa mujibu wa sheria za Fifa, mbali na rais wa nchi, ni wachezaji waliokuwa sehemu ya timu iliyoshinda Kombe la Dunia pekee ndio wanaruhusa kushika kombe hilo.
Onyesho la kwanza la wimbo huo litafanyika usiku wa leo kabla ya droo ya makundi inayotarajiwa kuanza saa 19:00 kwa saa za Qatar.
Droo ya Ijumaa itafanyika katika Kituo cha Maonyesho na Mikutano cha Doha, huku washindi wa zamani wa Kombe la Dunia kama vile Cafu na Lothar Matthaeus wakiwa kati ya wasaidizi wa droo.