Museveni afanya mazungumzo na Rais wa Ukraine, Zelenskyy
Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.
Museveni alisema Uganda ilijizuia na kuchukua msimamo wa kutoegemea upande wowote wakati suala la Urusi na Ukraine lilipokuja kujadiliwa katika Umoja wa Mataifa.
Japan inapanga kuongeza umri wa ridhaa ya ngono kutoka miaka 13 hadi 16. Pendekezo hili liko katika kifungu cha marekebisho…
Maafisa walikuwa wamekanusha kuwa Biden angezuru Ukraine wakati wa safari yake ya kuelekea Ulaya mashariki.
Ractliffe mwenye umri wa miaka 70 na kampuni yake tayari wamewasilisha ofa ya kutaka kununua asilimia 69 ya kuinunua Man United.
Atsu mwenye umri wa miaka 31,alipatikana ameaga dunia katika vifusi vya nyumba yake mjini Hatay Uturuki kufuatia tetemeko la ardhi lilotokea Februari 6 na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 4,000 huku maelfu ya wengine wakipata majeraha.
Pyongyang has repeatedly said it is not interested in further talks, and Kim recently called for an “exponential” increase in his country’s nuclear arsenal.
Ferdinand Omanyala alishamiri katika mashindano ya mbio za ukumbini nchini Ufaransa kwa kutwaa ushindi wake wa pili usiku wa Jumamosi.
afugaji kutoka kaunti ya Mandera na Wajir wanalazimika kutembea zaidi ya kilomita 100 hadi kaunti jirani ya Tana River angalau kupooza makali ya njaa yanayoawaathiri na mifugo wao.
Rais huyo mstaafu alisema kuwa watu wa eneo la Gem wanafaa kuwakuza maprofesa zaidi,wasomi na hata viongozi kama Magoha.
The first massive 7.8-magnitude quake struck early Monday