• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Football

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022
Africa Features Football Sports

Maelezo muhimu kuhusu timu za Afrika zilizofuzu kwa Kombe la Dunia Qatar 2022

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Hili ni Kombe la Dunia la kwanza kufanyika Mashariki ya Kati na litaanza Novemba 21 na fainali inatarajiwa kufanyika Desemba 18.

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal
Africa Features Football International Sports

Misri yawasilisha malalamiko kuhusu tabia ya mashabiki baada ya kupoteza mechi yao na Senegal

Maureen MedzaMarch 31, 2022March 31, 2022

Siku ya Jumanne, Pharoahs wa Misri walikosa nafasi ya kucheza Kombe la Dunia nchini Qatar baada ya kushindwa na Senegal katika Uwanja wa michezo wa Diamniadio huko Dakar.

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022
Africa Features Football Sports

Vurugu na ghasia baada ya Nigeria kushindwa kufuzu kwa Kombe la Dunia 2022

Maureen MedzaMarch 30, 2022March 30, 2022

Ghana ilibandua nje wenyeji kwa kulazimisha sare ya 1-1 na kushinda mchezo wa hatua ya muondoano na kuondoa matumaini ya Nigeria ya kucheza Kombe la Dunia baadaye mwaka huu.

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani
Europe Features Football International People

Mmiliki wa Chelsea Roman Abramovich adaiwa kuwekewa sumu katika mazungumzo ya amani

Maureen MedzaMarch 29, 2022March 29, 2022

Bilionea huyo alionyesha dalili zikiwemo macho mekundu na kuchubuka ngozi baada ya mazungumzo ya amani mjini Kyiv.

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco
Africa Features Football Middle East Sports

Watu 160 wakamatwa huku polisi wakijeruhiwa katika vurugu za soka nchini Morocco

Maureen MedzaMarch 14, 2022March 14, 2022

Vurugu hizo zilitokea mwishoni mwa mchezo wa Kombe la Throne Cup kati ya AS FAR, klabu ya Wanajeshi wa Morocco yenye makao yake mjini Rabat, na Maghreb de Fez (MAS).

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake
Europe Features Football International People

Roman Abramovich: Bilionea mmiliki wa Chelsea ahangaika kuokoa himaya yake

Maureen MedzaMarch 11, 2022March 11, 2022

Uamuzi wa serikali ya Uingereza kufungia mali yake unalemaza shughuli za Klabu ya Soka ya Chelsea, kiungo muhimu cha utajiri wa Abramovich, na kutoa pigo lingine kubwa kwa biashara yake.

Roman Abramovich kuuza Chelsea na fedha kuwanufaisha waathiriwa wa vita Ukraine
Business / Finance Europe Features Football International People Politics

Roman Abramovich kuuza Chelsea na fedha kuwanufaisha waathiriwa wa vita Ukraine

Maureen MedzaMarch 3, 2022March 3, 2022

Alitangaza kuuzwa kwa klabu hiyo saa moja kabla ya mechi ya raundi ya tano ya Kombe la FA kati ya Chelsea na Luton, ambapo The Blues walishinda 3-2.

Rigobert Song kuteuliwa kuwa kocha wa Cameroon kwa amri ya rais wa taifa hilo
Africa Football People Sports

Rigobert Song kuteuliwa kuwa kocha wa Cameroon kwa amri ya rais wa taifa hilo

Maureen MedzaMarch 1, 2022March 1, 2022

Waziri wa michezo Narcisse Mouelle Kombi alisema Rais wa Cameroon Paul Biya ameamuru shirikisho la soka la kitaifa kumpa kazi mlinzi huyo wa zamani wa Liverpool.

Russia expelled from the 2022 World Cup
Football International People Politics Sports

Russia expelled from the 2022 World Cup

Mwanzo EditorFebruary 28, 2022February 28, 2022

The men’s team had been due to play in qualifying play-offs in March for the World Cup in Qatar later this year.

Baada ya kushinda  AFCON, Senegal yazindua uwanja wa michezo wa hadhi ya kimataifa
Africa Features Football People

Baada ya kushinda  AFCON, Senegal yazindua uwanja wa michezo wa hadhi ya kimataifa

Maureen MedzaFebruary 23, 2022February 23, 2022

Uwanja huo umepewa jina la rais wa zamani Abdoulaye Wade, utakuwa ndio uwanja pekee nchini Senegal ulioidhinishwa kwa soka ya kimataifa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo