Driving the Rallying Fire: BangBet’s Quest for Motorsport Excellence
In the adrenaline-fueled world of Kenyan motorsport, one name stands out as a driving force behind the pursuit of excellence:
In the adrenaline-fueled world of Kenyan motorsport, one name stands out as a driving force behind the pursuit of excellence:
As the WRC Safari Rally Kenya kicks off amidst a flurry of excitement and anticipation, all eyes are on the dynamic duo, Josiah Kariuki and John Ngugi, who are primed to make waves in this thrilling motorsport spectacle
Mechi hiyo ya robo fainali ya ligi ya mabingwa Afrika, itachezwa saa 3 usiku, hivyo kulingana na muda huo uongozi wa Yanga umeamua kuwapunguzia gharama mashabiki wake.
“We have now reinstated the sports fund to deal with only matters [of] sports,” says Kenya’s President William Ruto, adding…
Hosts Ivory Coast put a disastrous group campaign behind them on Monday to beat holders Senegal 5-4 on penalties and book an Africa Cup of Nations quarter-final against Mali or Burkina Faso.
Timu ya taifa stars ya Tanzania itashuka dimbani usiku wa leo dhidi ya Vijana kutoka DR congo katika mchuano wa kufa mtu ambayo Tanzania lazima washinde ili kufuzu raundi ya 16 bora ya muondoano.
Timu ya taifa ya soka ya Tanzania Taifa Stars, leo Jumatano itakabiliana na Morocco katika kipute cha AFCON,katika uwanja wa Laurent Pokou,San Pedro saa mbili usiku.
Ikiwa imesalia chini ya masaa 24 kwa kindumbwendubwe cha Michuano ya ubingwa wa bara Africa AFCON, kuanza nchini ivory Coast, baadhi ya wachezaji wanaonekana kubeba matumani ya mataifa yao katika kipute hicho.
Double Olympic 1500m champion Faith Kipyegon and world marathon record holder Kelvin Kiptum highlighted Kenyans honoured at the revamped World Athletics awards gala on Monday evening in Monaco, France.
Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.