Mwezi mmoja wa vita vya Ukraine na Urusi, mamia ya watu wafariki wengine wakimbia makazi yao.
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Leo Machi 24, Ukraine inatimiza mwezi mmoja tangu iingie kwenye vita na Urusi baada ya Urusi kuanza kuishambulia Ukraine Februari 24.
Balozi Mulamula amesema kwa miaka mingi sasa Tanzania inaamini katika kutafuta muafaka na maridhiano kwa kutumia njia ya diplomasia ili kumaliza migogoro.
Imeshambulia ghala hilo kwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyorushwa kutoka baharini.
Kulingana na Shirika la Human Rights Watch, watu waliofanikiwa kuukimbia mji huo wameelezea hali mbaya walioiacha ikiwemo maiti kutapakaa barabarani na majengo yaliyoharibiwa.
Urusi ilikuwa imeipa Ukraine hadi saa kumi na moja alfajir ya leo kuwa imesalimu amri mjini Mariupol, lakini haikusema itafanya nini ikiwa Ukraine itakataa kuheshimu matakwa yake.
Women and children account some 90 percent of those who have fled.
“What’s happening now in Mariupol is a massive war crime, destroying everything, bombarding and killing everybody,” Josep Borrell said
Zaidi ya watu milioni 1 wengi wao kutoka Syria walifika ufuo wa Ulaya mwaka 2015, lakini hawakupewa hadhi ya ulinzi wa moja kwa moja.
Russian fighters also fired at the airport in the western city of Ivano-Frankivsk, which is less than 150 kilometers (94 miles) north of Romania and 250 kilometers (155 miles) from Hungary, countries that also are NATO allies.
“The number of refugees from Ukraine, tragically, has reached today 2.5 million,” UN Refugee Agency’s chief Filippo Grandi.