Katika taarifa iliyochapishwa kwenye tovuti ya chama cha National Resistance Movement (NRM), chama hicho kilisema kuwa Museveni “amewasilisha nia ya kutetea nafasi ya Mwenyekiti wa NRM na kuwa mgombea urais wa chama katika uchaguzi wa 2026.”
In the UK, if any person tweeted or made a post saying they would be visiting Buckingham Palace, 10 Downing Street, nobody would wait for them to come to the streets. They will be picked up from their own homes and charged.
Others stripped off their roles are Iringa Regional Commissioner Peter Serukamba, his counterparts Thobias Andengenye (Kigoma), Juma Homera (Mbeya), and Daniel Chongolo (Songwe).
Trump so far has frustrated Western allies by refusing to impose new sanctions on Russia despite President Vladimir Putin’s refusal to agree to a Ukraine ceasefire.
Miongoni mwa walioshtakiwa ni maafisa watatu wa polisi, Afisa Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Nairobi (OCS) aliyesimamishwa kazi Samson Kiprotich Talaam, Konstebo James Mukhwana. Wengine waliotajwa katika kesi hiyo ni John Ngige Gitau, Gin Ammitoa Abwao, na Brian Mwaniki Njue.
Global airlines have suspended or reduced flights in the Middle East as the conflict between Israel and Iran rages after the United States bombed three Iranian nuclear enrichment sites at the weekend.
Russia fired dozens of drones and missiles at Ukraine on Monday, ripping open a housing bloc in Kyiv, killing 10 civilians and burying others beneath the rubble.
Will the pipeline really improve the lives of people in Uganda, Tanzania and other East African countries? Or will it increase inequality, worsen climate change and divide the region?
The National Industrial Training Authority (NITA) today convened a high-level consultative forum at the NITA Athi-River Conference Centre, bringing together…
A shooting and suicide bombing at a Damascus church during a packed service on Sunday killed at least 22 people, authorities said, blaming a member of the Islamic State group for the unprecedented attack.
The 19-nation CHAN, restricted to locally-based players, is a precursor to the top-tier African Cup of Nations, which is due to be held in east Africa for the first time in 2027.
Brown is charged in relation to an assault in which the victim was allegedly struck several times with a bottle before being pursued, punched and kicked.
Ingabire aliwahi kuhukumiwa kifungo cha miaka minane gerezani mwaka 2012 kwa makosa yaliyohusisha “kudharau mauaji ya kimbari” na “kutishia usalama wa taifa.” Hukumu hiyo ilitokana na hotuba aliyotoa aliporejea Rwanda kutoka uhamishoni, ambapo alitaka kutambuliwa pia kwa waathiriwa wa Kihutu waliouawa wakati wa mauaji hayo ya mwaka 1994.
Katika taarifa iliyotolewa leo Jumatano tarehe 18 Juni 2025, ambayo imeeleza baadhi ya matukio hayo, polisi wamesema uchunguzi wa kina umebaini kuwa watu wengi waliodaiwa kutekwa ama walikuwa wamejificha kwa hiari, walitoroka kutokana na sababu mbalimbali au walihusika katika vitendo vya uhalifu kabla ya kupotea kwao.
Israeli troops raided two Palestinian refugee camps in the occupied West Bank’s north overnight, the military told AFP, as Israel presses offensives on multiple fronts.
We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo