• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: ADF

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12
East Africa Features Politics

DR Congo: Mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya waasi yasababisha vifo vya raia 12

Maureen MedzaJuly 29, 2022July 29, 2022

Watu wanaoshukiwa kuwa waasi wamewaua raia kumi na wawili katika mashambulizi ya hivi majuzi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo,

Askari, waasi watatu wauawa katika mapigano mashariki mwa DR Congo
Africa

Askari, waasi watatu wauawa katika mapigano mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaJuly 20, 2022July 2, 2024

Kundi la ADF ni miongoni mwa wanamgambo wenye ghasia zaidi kati ya zaidi ya wanamgambo 120 ambao hupatikana mashariki mwa DRC.

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo
East Africa Features Politics

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31
Africa East Africa Features Politics

Wanajeshi wa Uganda kuondoka DRC ifikapo Mei 31

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Uganda ilijiunga na vikosi vya Congo mnamo Novemba 30 katika vita dhidi ya Allied Democratic Forces (ADF), inayotuhumiwa kwa mauaji mashariki mwa DR Congo na milipuko ya mabomu nchini Uganda.

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu
Africa East Africa Features Politics

Watu 30 wauawa katika mashambulizi ya siku mbili nchini DR Congo: Msalaba Mwekundu

Maureen MedzaApril 12, 2022April 12, 2022

Waasi wa ADF, ambao wanafungamana na kundi la Islamic State kama mshirika wake wa Afrika ya kati, wamehusika na ghasia kali dhidi ya raia — mara nyingi kwa mapanga na silaha nyinginezo.

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Zaidi ya watu 50 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini DR Congo

Maureen MedzaMarch 15, 2022March 15, 2022

Licha ya kukabiliwa na jeshi la nchi hiyo — na usaidizi kutoka kwa vikosi vya Uganda, vilivyoanza kukabiliana na waasi mwishoni mwa Novemba – mashambulizi ya ADF yameendelea.

Makundi yenye silaha nchini DR Congo yanawashikilia wajumbe waliotumwa na rais
Africa Features Politics

Makundi yenye silaha nchini DR Congo yanawashikilia wajumbe waliotumwa na rais

Maureen MedzaFebruary 18, 2022February 18, 2022

Walienda huko kwa dhamira kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi ili kujadili masharti ya kusitisha mapigano na kuwakomesha uharifu katika eneo hilo.

Wanamgambo wa waua 18 mashariki mwa DR Congo
Africa East Africa Politics

Wanamgambo wa waua 18 mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaFebruary 16, 2022February 16, 2022

mashambulizi ya CODECO yamesababisha mamia ya vifo na kusababisha zaidi ya watu milioni 1.5 kukimbia makazi yao

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Africa East Africa Features Politics

Watu 10 wauawa katika mashambulizi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Maureen MedzaJanuary 14, 2022January 14, 2022

Mnamo tarehe 30 Novemba, wanajeshi wa Uganda walijiunga na wanajeshi wa Congo katika msako mkali dhidi ya ADF katika eneo la Beni.

Wanajeshi wa Uganda na wa DR Congo washirikiana kukabiliana na waasi wa ADF
Africa East Africa Politics

Wanajeshi wa Uganda na wa DR Congo washirikiana kukabiliana na waasi wa ADF

Maureen MedzaDecember 1, 2021December 1, 2021

Rais wa Congo Felix Tshisekedi ameidhinisha wanajeshi wa Uganda kuingia DR Congo kusaidia kupambana na kundi la waasi la ADF

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo