Wanajeshi wa Uganda na wa DR Congo washirikiana kukabiliana na waasi wa ADF
Rais wa Congo Felix Tshisekedi ameidhinisha wanajeshi wa Uganda kuingia DR Congo kusaidia kupambana na kundi la waasi la ADF
Rais wa Congo Felix Tshisekedi ameidhinisha wanajeshi wa Uganda kuingia DR Congo kusaidia kupambana na kundi la waasi la ADF
Twin suicide explosions killed four people on Tuesday in Uganda.
“Takriban watu sita wameuawa na wengine 33 kujeruhiwa”, amesema msemaji wa polisi Fred Enanga, inadaiwa kuwa walipuaji watatu wakujitoa muhanga wamehusika katika mashambuzlizi ya leo.
The explosion near the Central Police Station shattered windows.