East African Athletes Whose Lives Were Cut Short by Domestic Violence
These heartbreaking incidents have not only shaken the athletics community but also shed light on the growing crisis of gender-based violence in Kenya.
These heartbreaking incidents have not only shaken the athletics community but also shed light on the growing crisis of gender-based violence in Kenya.
Emmanuel Ibrahim Rotich alikamatwa baada ya msako mkali wa usiku wa manane siku moja baada ya mwili wa Tirop kupatikana ukiwa na majeraha ya kuchomwa kisu, na amekuwa kizuizini tangu wakati huo.
Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore
Mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop huenda yalitokana na mzozo wa kimapenzi.