Ferdinand Omanyala: Mwanamume mwenye kasi zaidi barani Afrika akabiliwa na kucheleweshwa kwa visa
Mwanariadha mwenye kasi zaidi barani Afrika Ferdinand Omanyala ni mwingi wa wasiwasi huku, akisubiri visa ya Marekani ili aweze kushiriki Mashindano ya Riadha ya Dunia.