Ivory Coast yatangaza ugunduzi mpya wa mafuta na gesi
Kampuni ya Italia ya Eni imeripoti ugunduzi mpya wa mafuta na gesi asilia nchini Ivory Coast
Kampuni ya Italia ya Eni imeripoti ugunduzi mpya wa mafuta na gesi asilia nchini Ivory Coast
Miongo kadhaa ya kilimo kisicho endelevu kimedhoofisha udongo duniani kote na kuharakisha ongezeko la joto duniani na upotevu wa viumbe, UNCCD inasema, huku takriban asilimia 40 ya ardhi ikiharibika kote duniani.