Guinea: Mtu mmoja auawa kwa kupigwa risasi wakati wa maandamano
Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.
Miaka miwili kabla ya mapinduzi nchi hiyo ilishuhudia maandamano ya mara kwa mara dhidi ya mpango wa rais huyo wa zamani wa kutaka kuwania muhula wa tatu.
Conde, 84, flew to Turkey for medical treatment on Saturday with the authorisation of the junta, which in 2021 overthrew him after more than ten years in power.
Conde ni miongoni mwa maafisa wakuu 27 ambao wanakabiliwa na mashtaka ya mauaji, kulingana na hati iliyotolewa na mwendesha mashtaka wa umma Alphonse Charles Wright.
Conde alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia mwaka 2010, aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya.
Conde 84 alikuwa rais wa kwanza wa Guinea kuchaguliwa kidemokrasia. Aliondolewa madarakani na maafisa wa jeshi mwaka jana na nafasi yake kuchukuliwa na Kanali Mamady Doumbouya
Mamady Doumbouya ataapishwa mwendo wa saa sita majira ya Afrika Magharibi katika ukumbi wa Mohammed V conference centre mji mkuu wa Conakry.
mikakati hoyo itatumiwa kuunda katiba mpya na kufanyika kwa uchaguzi wa huru ,wazi na wa haki, ingawaje haikueleza serikali ya mpito itakuwepo kwa muda gani.