• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Azimio One Kenya Party

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu
East Africa People Politics

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu

Joy CheptooMarch 26, 2023March 26, 2023

Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha

Kenya: Hatimaye IEBC imefungua sava ili uhakiki ufanywe
East Africa Politics

Kenya: Hatimaye IEBC imefungua sava ili uhakiki ufanywe

Victor WanaswaAugust 31, 2022August 31, 2022

Tume ya IEBC imefungua sava na kupisha zoezi la uhakiki kuanza

Kenya: Masuala tisa yatakayoamuliwa katika kesi ya urais
East Africa Politics

Kenya: Masuala tisa yatakayoamuliwa katika kesi ya urais

Victor WanaswaAugust 30, 2022August 30, 2022

Jaji mkuu nchini Kenya Martha Koome aorodhesha mambo tisa ambayo mahakama ya juu zaidi itatoa uamuzi kuyahusu katika kesi ya urais.

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
East Africa

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga

Victor WanaswaAugust 20, 2022August 21, 2022

Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.

Wagombea urais wa Kenya watoa ombi la mwisho la kura huku kampeni zikikamilika
Africa East Africa Politics

Wagombea urais wa Kenya watoa ombi la mwisho la kura huku kampeni zikikamilika

Joy CheptooAugust 6, 2022August 6, 2022

Naibu Rais William Ruto wa Kenya Kwanza na Raila Odinga wa Muungano wa Azimio La Umoja walitoa wito wao wa…

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua
Features People Politics

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo
Features Politics

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia
East Africa Features People Politics

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Features People Politics

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi
Features People Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi

Maureen MedzaJuly 22, 2022July 22, 2022

Tume Huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) imelaani kukamatwa kwa maafisa watatu kutoka kwa kampuni inayosambaza mifumo ya kielektroniki ya kupigia kura kwa uchaguzi wa mwezi ujao.

Posts navigation

Older posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo