Polish hostage freed in Burkina Faso
In recent years many foreign nationals have been taken hostage in Burkina Faso, which has faced jihadist attacks since 2015 that have left thousands dead and displaced 1.9 million people.
In recent years many foreign nationals have been taken hostage in Burkina Faso, which has faced jihadist attacks since 2015 that have left thousands dead and displaced 1.9 million people.
Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.
Burkina Faso imetikiswa na uvamizi wa wanajihadi tangu 2015, huku vuguvugu hilo likihusishwa na Al-Qaeda na kundi la Islamic State.