Polish hostage freed in Burkina Faso
In recent years many foreign nationals have been taken hostage in Burkina Faso, which has faced jihadist attacks since 2015 that have left thousands dead and displaced 1.9 million people.
In recent years many foreign nationals have been taken hostage in Burkina Faso, which has faced jihadist attacks since 2015 that have left thousands dead and displaced 1.9 million people.
President Roch Marc Christian Kabore, was overthrown in an army coup.
Six Burkinabe, a Zambian and a Tanzanian went missing in the shafts 700 metres underground.
Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.
Sankara alishambuliwa na wanajeshi wenzake wakati wa mapigano yaliyomweka Compaore madarakani.
Alikuwa na umri wa miaka 37 tu.
Ex-President Blaise Compaore, who lives in exile in Ivory Coast, was tried in absentia.
Kiongozi wa chama tawala cha zamani nchini Burkina Faso alikamatwa siku ya Jumapili baada ya kukosoa hali ambayo rais wa zamani Roch Marc Christian Kabore amewekwa na serikali tawala
Taarifa ya Jeshi la Burkina Faso imesema Kikosi cha kijeshi kilichokuwa katika operesheni ya usalama katika eneo la Mashariki kilikabiliana na kundi la watu wenye silaha takriban kilomita ishirini mashariki mwa eneo la Natiaboani, jana Jumapili, Machi 20, 2022
Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.
Ouedraogo mwenye umri wa miaka 53, ambaye uteuzi wake ulikuja kwa amri iliyotiwa saini na Rais Damiba, ameongoza kampuni ya ushauri na ukaguzi wa hesabu tangu 2007.