DR Congo: Makumi ya watu wauawa katika uvamizi kwenye mgodi wa dhahabu
Wavamizi waliwauwa takriban watu 35 akiwemo mtoto mchanga katika shambulio kwenye mgodi wa dhahabu huko Ituri, DR Congo
Wavamizi waliwauwa takriban watu 35 akiwemo mtoto mchanga katika shambulio kwenye mgodi wa dhahabu huko Ituri, DR Congo
Ofisi ya rais wa Kenya ilisema Alhamisi kwamba viongozi hao walikuwa wakitafuta kuanzisha kikosi cha kikanda ili kukomesha makundi ya waasi wanaoendesha shughuli zao katika eneo hilo.
Wanajeshi wawili wamewaua kwa risasi jumla ya watu 15, ikilaumu shambulizi hilo kutokana na wanajeshi hao kulewa chakari.
Officials say among the victims, all of them civilians, are men, women and children.
Fighting between the rebels and soldiers flared up Wednesday after several days of calm.
Hakuna treni za abiria za kutosha na barabara chache zinazoweza kutumiwa, kwa hivyo watu wanaohitaji kusafiri umbali mrefu mara nyingi husafiri kwa treni ya mizigo.
Wanajeshi wanane waliuawa Jumanne wakati helikopta ya Puma ilipoanguka DR Congo
Bei ya unga wa mahindi, mchele, sukari, mafuta na nyanya imepanda, na hivyo kutoa changamoto kubwa kwa wale wanoishi kwa dola kadhaa kwa siku.
Licha ya kukabiliwa na jeshi la nchi hiyo — na usaidizi kutoka kwa vikosi vya Uganda, vilivyoanza kukabiliana na waasi mwishoni mwa Novemba – mashambulizi ya ADF yameendelea.
“In the face of the catastrophic impact of COVID-19 on the fight against HIV, TB and malaria, the choice is stark: We either increase funding, or we abandon hope of finally defeating these epidemics by 2030,” Peter Sands, Executive Director of the Global Fund.