Somalia yasajili wagombea 39 kwa kura za urais
Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.
Uchaguzi huo umecheleweshwa kwa mwaka mmoja na umekumbwa na ghasia mbaya na mzozo wa kuwania madaraka kati ya Rais Mohamed Abdullahi Mohamed, na Waziri Mkuu Mohamed Hussein Roble.