Bunge la Somalia lamuidhinisha Waziri Mkuu mpya
Barre, mbunge kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland alichaguliwa mapema mwezi huu na Rais Hassan Sheikh Mohamud
Barre, mbunge kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland alichaguliwa mapema mwezi huu na Rais Hassan Sheikh Mohamud
Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 48 kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland anachukua nafasi ya Mohamed Hussein Roble