Burkina Faso imemuamuru Blaise Compaore kulipa fidia kutokana na mauaji ya Thomas Sankara
Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.
Mnamo Aprili 6, Compaore, Kafando na Diendere walihukumiwa kifungo cha maisha kwa kupanga mauaji hayo, huku wengine wakifungwa miaka mitatu hadi 20 jela.