UKATILI WA POLISI NAMANGA
Mfanyabiashara Isaya Mnuo amesema alikamatwa na Askari sita kwa kudadi alikua na bunda la mirungi akitafuna na kumpiga Hadi kusababishia uvimbe Katika mguu wake.
Mfanyabiashara Isaya Mnuo amesema alikamatwa na Askari sita kwa kudadi alikua na bunda la mirungi akitafuna na kumpiga Hadi kusababishia uvimbe Katika mguu wake.