Rihanna aingia kwenye orodha ya Forbes ya mabilionea
Nyota huyo ambaye anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mpenzi wake rapa ASAP Rocky, alitangazwa rasmi kuwa mwanamke tajiri zaidi katika muziki mwaka jana.
Nyota huyo ambaye anatarajia kupata mtoto wake wa kwanza na mpenzi wake rapa ASAP Rocky, alitangazwa rasmi kuwa mwanamke tajiri zaidi katika muziki mwaka jana.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.
Kituo hicho kitakuwa na ukubwa wa futi 32,000 mraba kitawapa wateja fursa ya kuzalisha filamu,kufanya utafiti na nafasi ya hoteli ya kitalii