Aliyozungumzia William Ruto katika hotuba yake ya kwanza kama rais
Kiongozi huyo wa taifa alitoa taswira ambayo serikali yake itatumia kusukuma mbele uongozi alioutaja kama wa kila mkenya.
Kiongozi huyo wa taifa alitoa taswira ambayo serikali yake itatumia kusukuma mbele uongozi alioutaja kama wa kila mkenya.
Jaji mkuu nchini Kenya Martha Koome aorodhesha mambo tisa ambayo mahakama ya juu zaidi itatoa uamuzi kuyahusu katika kesi ya urais.
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.
Idadi ya wanwake waliochaguliwa magavana nchini Kenya imeongezeka maradufu kutoka watatu mwaka wa 2017 hadi saba mwaka huu wa 2022
Wakenya watakuwa wanawachagua nafasi sita za uongozi, ikiwa ni rais, magavana, maseneta, wawakilishi wa wanawake, wabunge na wawakilishi
Kenya goes to the polls on Tuesday in a closely fought race to elect the fifth president since independence from Britain six decades ago.
Maafisa wanne wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini Kenya (IEBC) wamekamatwa baada ya kupatikana wakifanya mkutano nyumbani kwa muwaniaji wa ubunge
Kenyan women have endured violence including rape, with female candidates subjected to a barrage of online abuse as the country…