Hatimaye Makamishna Wanne wa IEBC wasimamishwa kazi rasmi.
Makamishna hao ni makamu mwenyekiti Juliana Whonge Cherera, makamishna Francis Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Abonyo Nyang’aya
Makamishna hao ni makamu mwenyekiti Juliana Whonge Cherera, makamishna Francis Mathenge Wanderi, Irene Cherop Masit na Justus Abonyo Nyang’aya
Rais anayestaafu Uhuru Kenyatta maarufu kama Jayden anapostaafu kama rais, pia “anapeana” wadhifa wa mfalme wa meme kwa naibu rais Rigathi Gachagua maarufu kama Riggy G.
Kiongozi huyo wa taifa alitoa taswira ambayo serikali yake itatumia kusukuma mbele uongozi alioutaja kama wa kila mkenya.
Four Judges of Court of Appeal who were appointed on Tuesday will be sworn in today.
Uapisho wa rais mteule itafanyika katika hafla ya taifa katika mji mkuu wa taifa kulingana na kipengee cha 141 cha katiba.
Rais wa Marekani Joe Biden ameweka wazi watu watano watakaomwakilisha katika uapisho wa William Ruto.
The Supreme Court of Kenya on Monday, September 5, ruled that Deputy President William Ruto was validly elected as the fifth president of the Republic of Kenya,
Jaji mkuu Martha Koome amesema walalamishi walikosa kutoa ushahidi wa kutosha kuonyesha uchaguzi haukuwa wa haki.
Tume ya IEBC imekuwa ikishinikizwa kuandaa uchaguzi wa uwazi, huru na haki baada ya mahakama kufuta ushindi wa rais Uhuru Kenyatta mwaka wa 2017.
Maswali yaibuka kuhusu jinsi jina la raia wa Venezuela ilivyopatikana katika fomu 34A.