• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Kenya elections 2022

Sajili iliyochapishwa kutumika uchaguzi mkuu Kenya – Mahakama Kuu yaamuru
East Africa

Sajili iliyochapishwa kutumika uchaguzi mkuu Kenya – Mahakama Kuu yaamuru

Victor WanaswaAugust 4, 2022August 4, 2022

Jaji wa Mahakama Kuu Mugure Thande katika uamuzi wake ameishinikiza Tume ya Uchaguzi itumie sajili hiyo kama njia mbadala

Wajackoyah na Mgombea Mwenza watofautiana
East Africa

Wajackoyah na Mgombea Mwenza watofautiana

Victor WanaswaAugust 4, 2022August 4, 2022

Mgombea wa Roots Party, nchini Kenya Profesa George Wajackoya ametofautiana na mgombea mwenza Justina Wamae kufuatia madai ya kuidhisha mgombea Raila Odinga kuibuka

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua
Features People Politics

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo
Features Politics

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia
East Africa Features People Politics

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais
Features People Politics

Kenya: Raila Odinga asema hatashiriki mdahalo wa wagombea urais

Maureen MedzaJuly 25, 2022July 25, 2022

Odinga, 77, waziri mkuu wa zamani na Naibu Rais William Ruto, 55, ndio wagombea wakuu katika uchaguzi wa urais wa Agosti 9.

Mamilioni ya watu wakabiliana na njaa lakini ukame hauzingatiwi huku Kenya ikijiandaa kwa uchaguzi
Kenya

Mamilioni ya watu wakabiliana na njaa lakini ukame hauzingatiwi huku Kenya ikijiandaa kwa uchaguzi

Maureen MedzaJuly 22, 2022July 2, 2024

Takriban watu milioni 18 katika Pembe ya Afrika wanakabiliwa na njaa kali huku ukame mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kipindi cha miaka 40 ukiathiri eneo hilo

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi
Features People Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) yashutumu kukamatwa kwa wakandarasi

Maureen MedzaJuly 22, 2022July 22, 2022

Tume Huru ya uchaguzi na mipaka (IEBC) imelaani kukamatwa kwa maafisa watatu kutoka kwa kampuni inayosambaza mifumo ya kielektroniki ya kupigia kura kwa uchaguzi wa mwezi ujao.

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9
East Africa Features People Politics

Kenya: Wafahamu wagombea wenza katika uchaguzi wa Agosti 9

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Mjadala wa manaibu Rais utafanyika Jumanne, Julai 19 katika Chuo Kikuu cha Catholic University of East Africa (CUEA) huko Karen, Nairobi.

Kenya: Sonko awasilisha kesi katika mahakama ya EAC kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu
Features People Politics

Kenya: Sonko awasilisha kesi katika mahakama ya EAC kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu

Maureen MedzaJuly 18, 2022July 18, 2022

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo