• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Kenya Kwanza

William Ruto ni maarufu zaidi katika eneo la Mlima Kenya – Utafiti wa Infotrak
East Africa Features People Politics

William Ruto ni maarufu zaidi katika eneo la Mlima Kenya – Utafiti wa Infotrak

Maureen MedzaJuly 13, 2022July 13, 2022

Utafiti wa hivi punde zaidi wa Infotrak unaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anaungwa mkono kwa wingi katika eneo la Mlima Kenya.

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9
Features People Politics

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga
Entertainment Features People Politics

Martha Karua, Mgombea mwenza wa Raila Odinga

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Martha Karua huenda akawa naibu rais wa kwanza mwanamke katika historia ya Kenya, iwapo Muungano wa, Azimio la Umoja One Kenya, utashinda uchaguzi wa Agosti 9.

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais
East Africa Features Politics

Kenya: Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka IEBC yatangaza majina 38 ya wagombea binafsi wa urais

Maureen MedzaMay 19, 2022May 19, 2022

Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.

Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu Wakongo yazua gadhabu  
East Africa People Politics

Matamshi ya Naibu Rais William Ruto kuhusu Wakongo yazua gadhabu  

Maureen MedzaFebruary 17, 2022February 17, 2022

Mjumbe wa Kenya DR Congo, alikiri kumekuwa na “maoni hasi”  baada ya matamshi ya Dkt Ruto kuhusu nchi hiyo kukosa uwezo wa kufuga ng’ombe wa maziwa.

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake
East Africa Features People Politics

Kenya: Tume ya IEBC yamtaka Sabina Chege kufika mbele yake

Maureen MedzaFebruary 12, 2022February 12, 2022

Kauli ya tume ya uchaguzi inajiri baada ya Chege kudai kuwa chama cha Jubilee kilishinda uchaguzi mkuu wa 2017 baada ya kuiba kura

Posts navigation

Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo