Ibada ya njaa ya Shakahola: idadi ya vifo inazidi 300
Sakata hiyo ya kutisha imewashangaza Wakenya na kumfanya Rais William Ruto kuunda tume ya uchunguzi kuhusu vifo hivyo
Sakata hiyo ya kutisha imewashangaza Wakenya na kumfanya Rais William Ruto kuunda tume ya uchunguzi kuhusu vifo hivyo
Ripoti hiyo inaorodhesha Kenya kama sehemu inayoongoza kwa wasiwasi mkubwa pamoja na Pakistan, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Ethiopia, DRC, na Syria.
Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge
Huku njaa ikionekana kuwa chanzo kikuu cha vifo, baadhi ya wahasiriwa wakiwemo watoto walinyongwa, kupigwa au kuzimwa, kulingana na uchunguzi wa miili iliyofanywa na serikali
The proposed legislation calls for new or increased taxes on a wide range of items including fuel and food as well as beauty products, crypto currencies and social media influencers.
A total of 184 moderators employed in Nairobi by Sama, an outsourcing firm for Meta, filed a lawsuit in March, claiming their dismissal was “unlawful”.
Lengo la msingi la zoezi hilo lilikuwa kupima na kutathmini ufanisi wa taratibu za kukabiliana na dharura za uwanja wa ndege
Jaji aliamuru kutaifishwa kwa fedha hizo kwa sababu chanzo cha pesa hizo kutoka kwa bilionea Marc De Mesel, hakikuwa kimeelezwa na kufichuliwa.
Ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana, watu 1,756 walikuwa wamekufa katika barabara za nchi
Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.