Mkuu wa AU ana wasiwasi kuhusu mvutano wa Rwanda na DR Congo
Mzozo wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaongezeka, huku pande zote mbili zikishutumiana kusaidia wanamgambo wenye silaha katika eneo la Goma
Mzozo wa kidiplomasia kati ya majirani hao wawili unaongezeka, huku pande zote mbili zikishutumiana kusaidia wanamgambo wenye silaha katika eneo la Goma
Fighting between the rebels and soldiers flared up Wednesday after several days of calm.