Wakazi wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wakataa wazo la jeshi la kikanda
Kwa wengi katika kanda hiyo, haikuwa wazi jinsi jeshi lolote jipya la kikanda lingeweza kufanikiwa pale ambapo MONUSCO ilishindwa.
Kwa wengi katika kanda hiyo, haikuwa wazi jinsi jeshi lolote jipya la kikanda lingeweza kufanikiwa pale ambapo MONUSCO ilishindwa.
Viongozi wa mataifa saba yanayojumuisha muungano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki watakutana Jumatatu kujadili hali ya usalama katika eneo la mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Wataalamu huru wanaoripoti kwa Umoja wa Mataifa kuhusu Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo walisema Ijumaa kuwa waasi wa M23 wanapanga kuuteka mji wa mashariki wa Goma, DR Congo
Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.
Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.
Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013
Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao
Shambulio hilo lilitokea Jumapili jioni huko Bulongo katika jimbo la Kivu Kaskazini