• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: M23

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo
East Africa Features Politics

Rais wa Kenya ahimiza kutumwa kwa jeshi la kikanda nchini DR Congo

Maureen MedzaJune 16, 2022June 16, 2022

Wiki kadhaa za ghasia zimezua mzozo wa kidiplomasia kati ya DRC na jirani yake Rwanda, ambayo inalaumu kwa kuibuka upya kwa wanamgambo wa waasi wa M23.

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi
Africa Features People Politics

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo
East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi
Africa Features People Politics

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo
Africa Features

Waasi waua watu 16 katika shambulio la mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Shambulio hilo lilitokea Jumapili jioni huko Bulongo katika jimbo la Kivu Kaskazini

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo
Africa Features

Maandamano ya kuipinga Rwanda kwa ‘kuunga mkono’ waasi yafanyika DR Congo

Maureen MedzaMay 31, 2022May 31, 2022

Katika shambulio la hivi punde la waasi, watu 16 waliuawa 7 kujeruhiwa na magari yalichomwa wakati wa uvamizi wa usiku katika eneo lenye hali tete la mashariki, Shirika la Msalaba Mwekundu lilisema

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao
Africa Features Politics

DR Congo: Mapigano yasababisha watu 37,000 kutoroka makazi yao

Maureen MedzaMay 27, 2022May 27, 2022

Kulingana na NGOs, takriban watu 26,000 wamekimbia eneo la Rutshuru tangu Mei 22. Watu wengine 11,000 wamekimbia eneo la Nyiragongo

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo
Africa Features Politics

Mapigano yazuka karibu na mji wa Goma mashariki mwa DR Congo

Maureen MedzaMay 25, 2022May 25, 2022

Wanamgambo wa M23 waliibuka kutoka kwa uasi wa Watutsi wa Congo mwaka wa 2013 ambao uliungwa mkono na nchi jirani za Rwanda na Uganda wakati huo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo