Benin yawaachilia wafuasi 30 wa upinzani wakati wa ziara ya Macron
Benin imewaachia huru wafuasi 30 wa upinzani waliokamatwa wakati wa uchaguzi wa 2021 ambapo Rais Patrice Talon alishinda muhula wa pili
Benin imewaachia huru wafuasi 30 wa upinzani waliokamatwa wakati wa uchaguzi wa 2021 ambapo Rais Patrice Talon alishinda muhula wa pili
Macron anatazamiwa kufanya mazungumzo Jumanne asubuhi katika ikulu ya rais na mwenzake Paul Biya, 89, ambaye ametawala Cameroon kwa takriban miaka 40.