Mahakama ya juu ya Namibia imehalalisha ndoa ya jinsia moja
Ushoga ni kinyume cha sheria nchini Namibia chini ya sheria ya ulawiti iliyotekelezwa mwaka wa 1927 wakati wake chini ya utawala wa Afrika Kusini
Ushoga ni kinyume cha sheria nchini Namibia chini ya sheria ya ulawiti iliyotekelezwa mwaka wa 1927 wakati wake chini ya utawala wa Afrika Kusini
Wanandoa wawili waliooana nje ya Namibia walikuwa wameomba Mahakama Kuu kutambua ndoa zao.