Tanzania yaanza kuwahamisha Wamasai kutoka katika hifadhi ya Ngorongoro
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.
The indigenous Maasai community lives in Ngorongoro reserve in northern Tanzania but face eviction as officials say their growing population is a threat to wildlife in the area.