Kenya: Wizara ya Afya yaonya kuhusu matumizi mabaya ya dawa ya kutuliza maumivu
Katika taarifa iliyotolewa Ijumaa, Mei 20, bodi hiyo ilibainisha kuwa umma ulikuwa ukitumia kupita kiasi Dawa ya Diclofenac, Steroidal Anti-Inflammatory (NSAID) kwa ajili ya kudhibiti maumivu.