Rais wa Somalia amemteua mbunge Hamza Abdi Barre kuwa Waziri Mkuu
Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 48 kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland anachukua nafasi ya Mohamed Hussein Roble
Mbunge huyo mwenye umri wa miaka 48 kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland anachukua nafasi ya Mohamed Hussein Roble
Somalia’s international partners have welcomed the election of President Mohamud, with many hoping it will draw a line under a long-running political crisis.