Mabomu ya machozi, kukamatwa na polisi, huku Wakenya wakipinga ongezeko la ushuru
Odinga alitangaza mipango ya kukusanya saini milioni 10 kwa nia ya kumwondoa afisini Rais William Ruto
Odinga alitangaza mipango ya kukusanya saini milioni 10 kwa nia ya kumwondoa afisini Rais William Ruto
Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge
Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.
Police had announced at the weekend they were banning the new demonstrations after protests in March spiralled into chaos and violence that left three people dead
Utafiti huo ulifanyika kati ya Machi 11 hadi Machi 19, 2023
Mkutano wa kwanza wa ukumbi wa jiji umeratibiwa kufanywa jijini Nairobi mnamo Alhamisi, Aprili 13
Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha
Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi
Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha
Azimio imetangaza kuwa itafanya maandamano yake mara mbili kwa wiki siku za Jumatatu na Alhamisi hadi serikali itakapopunguza gharama ya maisha