• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Raila Odinga

Mabomu ya machozi, kukamatwa na polisi, huku Wakenya wakipinga ongezeko la ushuru
Africa East Africa People Politics

Mabomu ya machozi, kukamatwa na polisi, huku Wakenya wakipinga ongezeko la ushuru

Joy CheptooJuly 7, 2023July 7, 2023

Odinga alitangaza mipango ya kukusanya saini milioni 10 kwa nia ya kumwondoa afisini Rais William Ruto

Ondoa Mswada wa Fedha na uwaombe Wakenya msamaha – Raila amwambia Ruto
East Africa People Politics

Ondoa Mswada wa Fedha na uwaombe Wakenya msamaha – Raila amwambia Ruto

Joy CheptooJune 8, 2023June 8, 2023

Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge

Mheshimu Uhuru Kenyatta isipokuwa unataka kufia madarakani – Raila
East Africa People Politics

Mheshimu Uhuru Kenyatta isipokuwa unataka kufia madarakani – Raila

Joy CheptooMay 22, 2023May 22, 2023

Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.

Kenya police fire tear gas as opposition resumes protests
East Africa People Politics

Kenya police fire tear gas as opposition resumes protests

Mwanzo EditorMay 2, 2023May 3, 2023

Police had announced at the weekend they were banning the new demonstrations after protests in March spiralled into chaos and violence that left three people dead

Wakenya wengi wanaamini Ruto alishinda uchaguzi – Utafiti wa TIFA
East Africa People Politics

Wakenya wengi wanaamini Ruto alishinda uchaguzi – Utafiti wa TIFA

Joy CheptooApril 20, 2023April 20, 2023

Utafiti huo ulifanyika kati ya Machi 11 hadi Machi 19, 2023

Upinzani nchini Kenya watangaza mpango ujao baada ya kusitisha maandamano
East Africa People Politics

Upinzani nchini Kenya watangaza mpango ujao baada ya kusitisha maandamano

Joy CheptooApril 12, 2023April 12, 2023

Mkutano wa kwanza wa ukumbi wa jiji umeratibiwa kufanywa jijini Nairobi mnamo Alhamisi, Aprili 13

Chama cha upinzani nchini Kenya chaandaa maandamano ya siku ya tatu
East Africa People Politics

Chama cha upinzani nchini Kenya chaandaa maandamano ya siku ya tatu

Joy CheptooMarch 30, 2023March 30, 2023

Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi
East Africa People Politics

Wahuni wavamia shamba la aliyekuwa Rais Uhuru Kenyatta jijini Nairobi

Joy CheptooMarch 27, 2023March 27, 2023

Nia ya uvamizi huo haijulikani wazi

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu
East Africa People Politics

Inspekta Jenerali wa Kenya amepiga marufuku maandamano mapya ya upinzani Jumatatu

Joy CheptooMarch 26, 2023March 26, 2023

Zaidi ya watu 200 walikamatwa Jumatatu iliyopita, wakiwemo wanasiasa kadhaa wakuu wa upinzani, huku msafara wa Odinga mwenyewe ukipigwa na mabomu ya machozi na maji ya kuwasha

Asilimia 64 ya Wakenya hawaungi mkono maandamano ya upinzani – utafiti wa TIFA
East Africa People Politics

Asilimia 64 ya Wakenya hawaungi mkono maandamano ya upinzani – utafiti wa TIFA

Joy CheptooMarch 25, 2023March 24, 2023

Azimio imetangaza kuwa itafanya maandamano yake mara mbili kwa wiki siku za Jumatatu na Alhamisi hadi serikali itakapopunguza gharama ya maisha

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo