Frustrated Kenyans voice anger over economic crisis
Inflation hit 9.2 percent in February, according to the latest government figures
Inflation hit 9.2 percent in February, according to the latest government figures
Wakenya wanakabiliwa na matatizo ya kiuchumi kufuatia hatua za serikali za hivi majuzi za ushuru na kuongezeka kwa bei ya vyakula na mafuta
Wakenya wanateseka kutokana na kupanda kwa bei ya mahitaji ya kimsingi, pamoja na kushuka kwa kasi kwa shilingi ya ndani dhidi ya dola ya Marekani
Odinga alikuwa ameitisha maandamano ya Jumatatu jijini Nairobi kuhusu kupanda kwa mfumuko wa bei, ambao mwezi Februari ulifikia asilimia 9.2 mwaka hadi mwaka nchini Kenya
Maandamano yaliyopangwa ya Azimio yanaambatana na angalau maonyesho mengine 4 ‘yanayofanana’ katika nchi 4 tofauti za Afrika
Taarifa ya kustaafu kwake Odinga ilitangazwa na mwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat.
Waziri wa usalama wa ndani nchini kenya Kithure kindiki amemuonya odinga dhidi ya maandamano
Odinga sasa anaitaka tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini kenya IEBC kuondolewa na kisha kubuniwa kwa mfumo mpya wa uchaguzi
Odinga acknowledged that Ruto had personally invited him to the inauguration ceremony but said he would not honor the invite since he is out of the country and that he still holds “serious concerns” about the August 9th elections in which Ruto was declared the winner.
The Supreme Court of Kenya will once again make a decision on the credibility of this year’s presidential election following presidential results dispute