Mahakama ya Kenya imeondoa zuio la nyongeza ya ushuru hadi uamuzi wa mwisho
Serikali inasema ushuru huo utasaidia kuunda nafasi za kazi na kupunguza ukopaji wa umma
Serikali inasema ushuru huo utasaidia kuunda nafasi za kazi na kupunguza ukopaji wa umma
Twenty people have died in the clashes, official figures say. The opposition says the true death toll is at least 50.
Raila aliviambia vyombo vya habari kuwa Rais Ruto, aliyeanzisha mkutano huo, aliwafanya wasubiri na hakuonekana katika mkutano huo licha ya juhudi za Mkuu wa Nchi ya Tanzania, Samia Suluhu.
Odinga alitangaza mipango ya kukusanya saini milioni 10 kwa nia ya kumwondoa afisini Rais William Ruto
Raila alisema Rais anafaa kuondoa Mswada wa Fedha wa 2023 kwa sababu Wakenya watateseka iwapo utapitishwa. Tayari Mswada huo upo Bungeni ukisubiri uamuzi wa Wabunge
Raila aliwakashifu viongozi kwa kuongoza kampeni ya kumdhalilisha Uhuru ilhali wanatarajia kupewa heshima mara watakapoondoka afisini.
Police had announced at the weekend they were banning the new demonstrations after protests in March spiralled into chaos and violence that left three people dead
Utafiti huo ulifanyika kati ya Machi 11 hadi Machi 19, 2023
Mkutano wa kwanza wa ukumbi wa jiji umeratibiwa kufanywa jijini Nairobi mnamo Alhamisi, Aprili 13
Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha