• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Raila Odinga

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
East Africa

Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga

Victor WanaswaAugust 20, 2022August 21, 2022

Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani
East Africa Politics

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani

Victor WanaswaAugust 17, 2022August 17, 2022

Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.

Kenya: Je ni nani ataibuka mshindi?
East Africa

Kenya: Je ni nani ataibuka mshindi?

Victor WanaswaAugust 15, 2022August 15, 2022

Huenda wakenya wakafahamu kiongozi atakayechukua uongozi kutoka rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta leo

Raila na Ruto: washirika waliogeuka wahasimu wa kisiasa
East Africa

Raila na Ruto: washirika waliogeuka wahasimu wa kisiasa

Victor WanaswaAugust 9, 2022August 9, 2022

Raila Odinga na William Ruto wamekuwa na uhusiano wa upendo na uhasama kwa muongo mmoja sasa, wote wakiwa wamechangia pakubwa…

Kenyan election in facts and figures
East Africa

Kenyan election in facts and figures

Mwanzo EditorAugust 8, 2022August 8, 2022

Kenya goes to the polls on Tuesday in a closely fought race to elect the fifth president since independence from Britain six decades ago. 

Wagombea urais wa Kenya watoa ombi la mwisho la kura huku kampeni zikikamilika
Africa East Africa Politics

Wagombea urais wa Kenya watoa ombi la mwisho la kura huku kampeni zikikamilika

Joy CheptooAugust 6, 2022August 6, 2022

Naibu Rais William Ruto wa Kenya Kwanza na Raila Odinga wa Muungano wa Azimio La Umoja walitoa wito wao wa…

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua
Features People Politics

Tulimlipa Ruto mabilioni kumuunga mkono Rais Kenyatta, Tuju afichua

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo
Features Politics

‘Hongo kwa kura’ imeziacha benki za Kenya na uhaba wa noti ndogo

Maureen MedzaJuly 28, 2022July 28, 2022

Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9

Kenya holds single-candidate presidential ‘debate’
Africa East Africa

Kenya holds single-candidate presidential ‘debate’

Aska MakoriJuly 27, 2022July 27, 2022

Former prime minister Raila Odinga, 77, would not take part, his campaign team said Sunday, accusing Ruto, 55, of trying to avoid certain topics such as corruption.

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia
East Africa Features People Politics

Kenya: William Ruto ashiriki mdahalo wa wagombea urais, Raila asusia

Maureen MedzaJuly 27, 2022July 27, 2022

Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo