Nitatafuta haki kwa njia ya amani, asema kiongozi wa Azimio Raila Odinga
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Kiongozi wa Azimio la umoja raila Odinga amewataka wakenya kudumisha amani wakati akiendelea kutatafuta haki mahakamani.
Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.
Huenda wakenya wakafahamu kiongozi atakayechukua uongozi kutoka rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta leo
Raila Odinga na William Ruto wamekuwa na uhusiano wa upendo na uhasama kwa muongo mmoja sasa, wote wakiwa wamechangia pakubwa…
Kenya goes to the polls on Tuesday in a closely fought race to elect the fifth president since independence from Britain six decades ago.
Naibu Rais William Ruto wa Kenya Kwanza na Raila Odinga wa Muungano wa Azimio La Umoja walitoa wito wao wa…
Mkurugenzi Mtendaji wa sekretarieti ya urais ya Azimio, Raphael Tuju ameibuka na ufichuzi wa kushtua kwamba DP Ruto alilipwa mabilioni ili kuungana na Rais Kenyatta katika uchaguzi wa 2013.
Wanasiasa wamekuwa wakitoa kiasi kidogo cha pesa taslimu au vitu vingine kwa watu wanaojitokeza kwenye mikutano yao ya kampeni kabla ya kura ya Agosti 9
Former prime minister Raila Odinga, 77, would not take part, his campaign team said Sunday, accusing Ruto, 55, of trying to avoid certain topics such as corruption.
Naibu Rais wa Kenya William Ruto alikuwa peke yake kwenye mdahalo wa urais baada ya mpinzani wake mkuu kujiondoa mwishoni mwa juma