Sri Lanka troops demolish main protest camp
Wickremesinghe himself was elected by legislators on Wednesday to replace Gotabaya Rajapaksa, who fled to Singapore and resigned after demonstrators chased him from his palace.
Wickremesinghe himself was elected by legislators on Wednesday to replace Gotabaya Rajapaksa, who fled to Singapore and resigned after demonstrators chased him from his palace.
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Wagombea watatu waliteuliwa Jumanne kuchukua nafasi ya rais wa zamani wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa, ambaye alitoroka nchi na kujiuzulu wiki iliyopita
Alituma barua pepe ya kujiuzulu kwake kutoka Singapore baada ya kusafiri kwa ndege kuenda Singapore kutoka Maldives