President Ruto Responds to Backlash Over Remarks About Nigerians
Kenyan President Dr. William Ruto has broken his silence after facing backlash online for suggesting that Nigerian English is difficult to comprehend and requires a translator.
Kenyan President Dr. William Ruto has broken his silence after facing backlash online for suggesting that Nigerian English is difficult to comprehend and requires a translator.
Baada ya maendeleo na kutiwa saini kwa itifaki tisa mwezi Julai, Makamu wa Rais Riek Machar alitangaza kujiondoa kwenye majadiliano. Riek Machar anasalia kuwa mpinzani mkuu wa Rais Salva Kiir, ingawa wanafanya kazi pamoja katika serikali ya umoja na ya mpito iliyoundwa chini ya makubaliano ya amani ya mwaka 2018.
Rais William Ruto ameteua jopo la wanachama saba ambalo litasimamia mchakato wa kuwachagua makamishana na mwenyekiti wa IEBC.
Raila amezidi kusisitiza sava za tume ya uchaguzi nchini Kenya (IEBC) zifunguliwe,Ila Rais Ruto naye amemjibu akisema kuwa sava zipo wazi kwa kila mmoja kuangalia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2022.
Ruto alikuwa anamjibu odinga ambaye aliipa serikali ya Rais Ruto makataa ya siku 14 kupunguza gharama ya maisha la sivyo ataandaa maandamano kote nchini Kenya.
Following their swearing-in, all the Cabinet Secretaries assume office with immediate effect
In His speech after the swearing in of the 6 judges, President Ruto admitted that there is need to support the judiciary to dispense justice.