Rais wa UAE Sheikh Khalifa afariki akiwa na umri wa miaka 73
Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.
Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.