Sri Lanka: Wagombea watatu wateuliwa kuchukua nafasi ya rais wa zamani Gotabaya Rajapaksa
Wagombea watatu waliteuliwa Jumanne kuchukua nafasi ya rais wa zamani wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa, ambaye alitoroka nchi na kujiuzulu wiki iliyopita
Wagombea watatu waliteuliwa Jumanne kuchukua nafasi ya rais wa zamani wa Sri Lanka Gotabaya Rajapaksa, ambaye alitoroka nchi na kujiuzulu wiki iliyopita