Rais mpya wa Sri Lanka, Ranil Wickremesinghe aapishwa
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Waziri mkuu mara sita wa Sri Lanka Ranil Wickremesinghe aliapishwa Alhamisi kama rais wa Sri Lanka, akiwa na mipango ya kuunda serikali ya umoja ili kudhibiti machafuko hayo
Alituma barua pepe ya kujiuzulu kwake kutoka Singapore baada ya kusafiri kwa ndege kuenda Singapore kutoka Maldives