• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: Tanzania news

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?
East Africa Opinion Politics Tanzania

Mvutano Chadema ni Jitihada au hatari kwa umoja wa chama?

Asia GambaApril 4, 2025

Katika hali hii ya mgawanyiko, kundi linalopinga msimamo wa “No Election” limeandika waraka rasmi ukielezea hoja zao za kupinga kauli hiyo.

Rais Samia Awakumbuka Wazee Mwanza Kwenye Sikukuu Ya Eid
East Africa Tanzania

Rais Samia Awakumbuka Wazee Mwanza Kwenye Sikukuu Ya Eid

Our CorrespondentApril 2, 2025

Jumla ya fedha zilizotolewa katika Mkoa wa Mwanza ni shilingi milioni 10 ambapo wamenunuliwa jumla ya mbuzi 12, mchele gunia 12, mafuta ndoo kubwa 12, sukari mifuko 12 na soda katoni 90.

Fisi Wanaodaiwa Kufugwa Na Binadamu Wazua Kizaa Zaa  Bariadi Wakiua Kondoo 21
East Africa Tanzania

Fisi Wanaodaiwa Kufugwa Na Binadamu Wazua Kizaa Zaa Bariadi Wakiua Kondoo 21

Our CorrespondentApril 2, 2025April 4, 2025

Kondoo wengine tisa wakiwa hawajulikani walipo

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi
East Africa Tanzania

Wasira:Chadema hawana hoja ya msingi kuzuia uchaguzi

Asia GambaMarch 28, 2025

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Stephen Wasira amesema Chama cha Demokrasia na Maendeleo hakina hoja ya msingi ya kuzuia Uchaguzi Mkuu mwaka huu kwani kama ni mabadiliko wanayoyazungumza yameshafika tayari.

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35
East Africa Tanzania

Deni la Serikali laongezeka kutoka tril 82.25 hadi tril 97.35

Asia GambaMarch 27, 2025

CAG amesema deni hilo linajumuisha deni la ndani na deni ambalo ni Sh. trilioni 31.95 na la nje Sh.65.40, hata hivyo amesema deni hilo ni himilivu. 

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada
East Africa Tanzania

Familia ya kada wa CCM Daniel Chonchorio anaedaiwa kutekwa yajitokeza kuomba msaada

Asia GambaMarch 26, 2025

Familia ya Daniel Chonchorio, kada maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye anadaiwa kutoweka Jumapili asubuhi akiwa kwenye mazoezi eneo la Nyakato jijini Mwanza, imejitokeza hadharani kuomba msaada kwa umma ili kumtafuta ndugu yao.

NAPINGA MIJADALA POTOFU JUU YA UGAWAJI WA MAJIMBO YA UCHAGUZI
East Africa Opinion Tanzania

NAPINGA MIJADALA POTOFU JUU YA UGAWAJI WA MAJIMBO YA UCHAGUZI

Asia GambaMarch 17, 2025

Hoja ya mgawanyo wa majimbo ya Uchaguzi ijadiliwe kwa mapana yake

Sports Tanzania

CAF yaufungia uwanja wa Benjamini Mkapa

Asia GambaMarch 12, 2025

CAF imefikia hatua hiyo baada ya kuufungia kwa muda Uwanja wa Benjamin Mkapa uliopo Dar es Salaam kutokana na eneo la kuchezea (pitch) kuendelea kupungua ubora wake.

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania
East Africa Tanzania

Mauti ilivyokunja mwavuli wa Prof Sarungi, gwiji wa tiba ya mifupa Tanzania

Asia GambaMarch 10, 2025March 10, 2025

Mmoja wa zao la Tanzania waliojitolea kwa dhati, ambaye jina lake lilikuwa na ushawishi mkubwa kwa vizazi na mijadala ya kisiasa, hatimaye ameondoka jukwaani.

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa
East Africa People Social Issues Tanzania Uncategorized

Prof. Sarungi, Daktari aliyetumia vyema kiapo chake cha Udaktari licha ya kuwa Mwanasiasa

Asia GambaMarch 6, 2025

Prof. Mikol Philemon Sarungi, ambaye alifariki dunia tarehe 5 Machi 2025 akiwa nyumbani kwake, alijijengea jina kubwa katika historia ya Tanzania kama daktari, mtaalamu wa mifupa, na kiongozi wa serikali.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy